KARIBU KWENYE FURSA YA BIASHARA

JE wewe ni mwajiriwa au sio mwajiriwa nani tegemezi wa KIPATO chako?
JE unayo familia na wewe ndiyo kiungo chakuendesha familia?
JE una watoto,ndugu na marafiki wanaokutegemea?Ikitokea bahati mbaya ukawa kilema wa maisha au Mungu amekuchukua, JE familia yako na watoto wako watalipwa na ofisi yako maisha yao yote?
JE, ungependa uwaache wapo kwenye shida nakuomba misaada kwa marafiki zako?
JE wewe ni mmoja kati ya watu wanaosumbuliwa na KIPATO? Au unafikiria kuwa na NYUMBA NZURI, GARI ZURI, AMANI, au KUSOMESHA WATOTO?
JE unafahamu kuwa watu wengi wanamaisha duni kwa sababu tu hawana MTAZAMO sahihi wa maisha?
JE unafahamu familia ngapi ambazo zinaishi kwa taabu sababu tu kiungo cha familia hiyo ambacho kilikuwa chanzo cha mkate wa siku Mungu amekipumzisha mahali pema peponi?
JE una ndoto(Malengo) yoyote mwaka huu? Imekamilika au ipo mbali kukamilika? Umepanga chakufanya?
Umefika wakati wakabadili mfumo(mawazo mgando) wetu wakufikiri na tutumie muda wetu kwa manufaa yetu wenyewe.
Karibu kwenye semina ya Bure itakayokupa fursa nyingine mbadala kwa kutumia muda wako wa ziada uweze kufikisha malengo yako uliyojipangia.

MAHALI: DSM, ELITE CITY BUILDING 2nd Floor. ARUSHA ,BLUE ROCK HOUSE MKABALA NA GOLDEN ROSE,MWANZA PPF PLAZA SECOND FLOOR .DODOMA UKUMBI WA VETA,MBEYA FOREST HILL HOTEL ,IRINGA –KIHESA KICHANGANI STUDENT CENTRE
MUDA: SAA 9:00 ALASIRI
SIKU: JUMAMOSI NA JUMAPILI
KWA WAKAZI WA ARUSHA WIKI HII TUPO IKWETA HOTEL KARIBU SANA
Mawasiliano:- 0713 486 636
Maganga










Copyright Meshack Maganga 2009
Previous
Next Post »

MAONI ConversionConversion EmoticonEmoticon